Alhamisi, 27 Juni 2013

SKAUTI MKUU AAPISHWA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgbHxvklKnvoZvn4A4BM5KGRr6tXB4Lm0eJRw0YtYQabZv0QZbdzI3ROHJXXxTThY1-OTkbkc4bGcOOlRYDi2DB-3cos8lkE-v9B5lohCeiljH21wfRF4vk6e-A4pgRnRM9W4LsNgnEMIc/s1600/sk4.jpg
Rais Dkt.Jakaya Kikwete akimuapisha Skauti Mkuu Mhe. Mwantum Mahiza Ikulu Juni 24, 2013


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemuapishwa Skauti Mkuu wa Tanzania siku ya Juma tatu tarehe 24 Juni, 2013 Ikulu jijini Dar Es Salaam.
Kuapishwa kwa Skauti Mkuu ni tukio kubwa lililokuwa linasubiriwa na skauti Tanzania, kwani chama kimekaa kwa muda mrefu bila kuwa na kiongozi, pamoja na hilo, kuapishwa kwa Mhe. Mwantum Mahiza kuwa Skauti Mkuu ni historia kwa Skauti Tanzania kwani yeye ndiyo mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo kwa Tanzania.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjjOJD7XT-X36KMrSX0cqcW3T5LOnTMBcQc7FJVemupcBXPd2IiN0qXOZgtiV4cMKHesf_m1eQGhpCEwA6RYZ3iXc0yAGIIKnOWfIqTPVQ1LubmnqfdG9uFwT5X4rcKUVo4yzcR9Mw3rhE/s1600/sk5.jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi baada ya kumuapishwa Skauti Mkuu Mhe. Mwantum Mahiza Ikulu jijini Dar Es Salaam, Juni 24, 2013.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidUi7sitXHwfnh9omohTNBZhUKEiDzY-m9sWjXQ7quErTsf8AIBXw6-EgnTt4jBZFSCDhWSto9n4R4BE-_jkAm4YPKAXxEdyaNdv3DYGIT4aDsySyVkbEVQ0uLKVqBikEyYQfB428rtt4/s1600/sk6.jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi vitendea kazi baada ya kumwapisha Skauti Mkuu Mhe. Mwantum Mahiza ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdAcj8wbKYBW8_usGXE1tKr0RUJemu4w_YY5rBnBJa4rqpnzrkodxTP2QyHfrnpFzLY6LmApOkhGwt-XAAzhBQJNUXWDGzRUjOM43i1sH7N4VMi88EDvgOQUvl7XXaQPPs2zxmT4dqa64/s1600/sk7.jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Skauti Mkuu Mhe. Mwantum Mahiza baada ya kumwapishwa Ikulu jijini Dar Es Salaam Juni 24, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Jaji Kiongozi Fakih Jundu na Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza pamoja na viongozi wa maskatu na skauti  baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013

Katika hafla hiyo ya kumwapishwa Skauti Mkuu pia iliudhuliwa na Skauti Wabunge wa Tanzania wakiongozwa na Mwenyekiti wao Mhe. Abdulkarim Shah (Mbunge wa Mafia)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza pamoja na waheshimiwa wabunge ambao ni maskauti  baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na skauti Ismail Aden Rageh na wabunge maskauti  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza na viongozi wa skauti nchini baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJBL8Sevl38-a8RD6ZdDHvcrM0CHO6e9Z2cQFe3stPmaBVxHkRhMZWLuMd-HUZwVCBgJ4KOZ9yIMRCRYtYPbaBbG8yQUFZu51uz4uUEZHQh_N4t4nRqdc6xq7AivyBu-S7UFWLEGQgc7s/s1600/sk3.jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na Skauti kabla ya kumwapishwa Skauti Mkuu Mhe. Mwantum Mahiza jijini Dar Es Salaam Juni 24, 2013
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi7Gcyvh35XI8qK7ySsn232ovdzq6EprXFM7mK7-AboQqMyX5utjXvj7taDNQpvvcrTGhppd5Noqqyoc0nEyT9TYTlPCpLQAzybjpYD74IfhHZBlSmxhROTAJ8BvuM6ZaM1HAqkn_ERklM/s1600/sk1.jpg
Skauti Mkuu mhe. Mwantum Mahiza akisubiria kuapishwa akiwa na Skauti Wabunge na Viongozi wengine wa Skauti Tanzania, Juni 24, 2013 Ikulu jijini Dar Es Salaam.