Jumamosi, 11 Agosti 2012

Skauti wa Kiislam wafuturisha

 
Sheikh Yakub Bakari toka masjid Shahadhir Kinyerezi-Tabata akitoa mawaidha
Skauti wa Tanzania na wa Finland kwa pamoja wakifuturu
Skauti na waumini wengine wakisikiliza mawaidha
Skauti wa Kiislam Mkoa Dar-Es-Salaam wakiwa katika ghafla ya kufuturisha katika mwezi wa Ramadhani tarehe 11 Agosti 2012 katika viwanja vya Makao Makuu ya Skauti Upanga Dar Es Salaam

Ajali ya MV Skagit

Skauti wakiwa na vikosi vingine vya uokoaji wakielekea Chumbe Unguja kwa ajili ya uokoji wa ajali ya meli ya MV Skagit iliyozama tarehe 18 mwezi wa Saba mwaka 2012.