News

MAAFA YA MAFURIKO DAR ES SALAAM












































Mabomu ya Gongolamboto
 Tarehe 17 Februari 2011, Siku ya Alhamisi

Kama ilivyo kwa Motto wa Skauti, "Uwe tayari" ndivyo ilivyo kivitendo, Skauti walikuwa wa kwanza na wamojawapo katika kujitoa na kusaidia kwa waathirika na waanga wa maafa ya kulipuka kwa mabomu Gongolamboto.

 
Maskauti wakiwasaidia watoto walio potewa na wazazi wao baada ya mabomu kulipuka-Gongolamboto.

Nyumba iliyo athirika kwa bomu


Kipande cha bomu kilicho anguka mtaani.





This Blog Powered by:
Dar es Salaam Local Scout Association
 Dar Es Salaam, Tanzania.