Jumamosi, 11 Agosti 2012

Skauti wa Kiislam wafuturisha

 
Sheikh Yakub Bakari toka masjid Shahadhir Kinyerezi-Tabata akitoa mawaidha
Skauti wa Tanzania na wa Finland kwa pamoja wakifuturu
Skauti na waumini wengine wakisikiliza mawaidha
Skauti wa Kiislam Mkoa Dar-Es-Salaam wakiwa katika ghafla ya kufuturisha katika mwezi wa Ramadhani tarehe 11 Agosti 2012 katika viwanja vya Makao Makuu ya Skauti Upanga Dar Es Salaam

Hakuna maoni: